Swahili Hymn N-Z

Wewe u Mwaminifu


Wewe u Mwaminifu Baba Yangu, Hakuna kizuizi chochote
Hugeuki na hukosi huruma, tabia yako hata milele


Ref
We u mwaminifu We u mwaminifu kila siku naona rehema
Chochote nitakacho unanipa We u Mwaminifu kwangu Bwana.


Wakati wa kiangazi na mvua Jua, Mwezi, Nyota vyatangaza
Pamoja na uumbaji tutangaze fadhili zako nao upendo


Samaha La dhambi pia amani, Uwepo wako wafurahisha;
Nguvu za leo tumaini zuri la kesho, mibaraka zote nimepata.

 


Wimbi La Damu


Wimbi la damu ya Yesu Linatutakasa;
Aliumia kusudi Tupate uzima.


Chorus
Wimbi la damu naona, Naingia, natakaswa!
Bwana asifiwe sana, Hutakasa, hutakasa.


Damu inasema kwangu, Nasikia mvuto;
Inasema, moyo wangu Hutakaswa nayo.


Naondoka kutembea Kwa nuru ya mbingu;
Mavazi yamesafishwa; Moyoni ni Yesu.


Neema ni ya ajabu, Kutakaswa ndani!
Na kuwa naye Yesu tu, Aliye Mwokozi.

 


Yes Kar Msalabani


1. Yesu, kar msalabani Nitie soko maler,
Aora machango tuo, Machwer a Kalwari.


Chorus
Kalwari, Kalwari, E kar pakna pile,
Nyaka chunya noyudi Yueyo e par Nyasaye.


2. Kanyo e kar msalaba Herani noyuda;
An naluor, to In ing’won, Nimenya gi lerni.


3. Miya paro thoni, Ruoth, Kod rembi mochwerna;
Konya bed buti pile, Ni mond’ ichik wuodha.


4. Ruodha, mond asiki Kanyo but msalaba,
Kakiyo be kageno Biro mari, Ruodha.