Swahili Hymn N-Z

Tiharih’ ohikiriir’ omu ns’ egi


Tiharih’ ohikiriir’ omu ns’ egi, Kandi n’omu iguru tarimu,
Kurek’ abayogiibw’ omu shagama Ya Yesu, Omujuni wa


Refrain
Iw’ oraizire aha Mujuni? Oroogiibw’ omu shagama ye?
Ebibi byawe birakusaasiirwe? Ebijwaro byawe nibyera?


Ogyenda n’Omujuni bur’ izooba? Oroogiibw’ omu shagama ye?
Noohuumurir’ aha musharaba gwe? Oroogiibw’ omu shagama ye?


Omujuni Yesu Ku arigaruka Aryakushanga oyogiire gye?
Omushagama y’omwana gw’Entaama? Oshemereire ku mureeba.


Ebijwaro byawe ebisiisikaire, Bijuur’, oyogibw’ eshagama;
Hariho enshur’ ey’okwozy’ abasiisi; Mbwen’ ija, naiw’ ekushemeze

 


Tumeni Injili


Twasikia mwito kutoka mbali,
Tumeni Injili
Roho za watu na zionekane
Tumeni Injili.


Ref
Tumeni nuru ya Injili
Ing, are duniani
Tumeni nuru ya Injili
Ing, are duniani.


Tumeitwa kueneza Injili
Tumeni Injili
Sadaka twaziweka msalabani
Tumeni Injili.


Natuombe nehema ienee
Tumeni Injili
Na Roho wa Kristo uonekane
Tumeni Injili.


Usichoke kazi ni kwa Upendo
Tumeni Injili
Taji ya uzima tupate mwisho
Tumeni Injili.

 


Tumesikia Mbiu Yesu Lo Aponya


1. Tumesikia mbiu:
Yesu lo! aponya,
Utangazeni kote,
Yesu, lo! aponya.
Tiini amri hiyo;
Nchini na baharini,
Enezeni mbiu hii;
Yesu , lo! aponya.


2. Imbeni na vitani;
Yesu, lo! aponya;
Kwa nguvu ya kombozi,
Yesu, lo! aponya.
Imbeni wenye shida,
Unapoumwa moyo.
Na karibuni imba;
Yesu, lo! aponya.


3. Mawimbini uenee;
Yesu, lo! Aponya;
Wenye dhambi jueni;
Yesu, lo! Aponya.
Visiwa na viimbe,
Vilindi itikeni,
Na nchi shangilieni;
Yesu, lo! Aponya.


4. Upepo utangaze;
Yesu, lo! Aponya;
Mataifa yashangaaa;
Yesu lo! Aponya.
Milimani, bondeni,
Sauti isikike
Ya wimbo wa ushindi;
Yesu, lo! Aponya.

 


Tumshukuru Mungu


Tumshukuru Mungu
Kwa kinywa na kwa moyo
Atendaye makuu
Popote hata kwetu
Tangu kuzaliwa
Mpaka leo hivi
Na siku zijazo
hutuhurumia.


Baba mwenye nguvu
Atupe siku zote
Mioyoni mwetu
Furaka na amani
Baraka yake kuu
Itusaidie
Tushinde huzuni
na shida zozote


Tumsifu mwenyezi
Aliye Baba yetu
tumsifu na mwana
Aliyetuokoa
Tumsifu na Roho
Atutakasaye
Tumsifuni Mungu
Sasa na milele.