Swahili Hymn N-Z

Nuru Ya Mbingu


1. Uwe nuruni kwenye safarini kwenye milima na mabonde
Yesu anasema hata tuache usimwache akusihi.


Chorus
Nuru ya mbingu Nuru ya mbingu utukufu umefurika
Alleluia Ninafurahi nitamwimbia Yesu wangu.


2. Nimezungukwa na giza nene sikumtambua Mwokozi
Yeye ni nuru hakuna giza nitatembea naye Bwana.


3. Nafurahia nuru ya Yesu makao yameandaliwa
Naimba sifa zake Mwokozi natembea nuruni mwake.

https://youtu.be/c6oiT5pOLbA

 


Ogotera Kwa Nyasae


`Karar` as` embera, Yes` Omotoria;
Kaganya Koboka, Monen` one.


Refrain
Kaboka. korw` embera, Nobobui as` omobisa
Akabok` akabua omosunte
Amenyete n`abachenu kogamba
Kaboka, kaboka, Alleluy` akaboka.


Bakarend` embera, Yes` Omotoria;
Bakarenda bosa, Monen` one.


Tabuetwe nogokwa, Yes` Omotoria;
Kabu` ebisibo, Monen` one.

https://youtu.be/oad1CXWGcwA

 


Siku Kuu


1. Ni siku kuu, siku ile, ya kumkiri Mwokozi!
Moyo umejaa tele, kunyamaza hauwezi.


Refrain
Siku kuu! siku kuu! ya kuoshwa dhambi zangu kuu!
Hukesha na kuomba tu, ananiongoza miguu
Siku kuu! siku kuu! Ya kuoshwa dhambi zangu kuu.


2. Tumekwisha kupatana, mimi mbwake, yeye mbwangu;
Na sasa nitamwandama, nakiri neno la Mungu.


3. Moyo tulia kwa Bwana, kiini cha raha yako;
Huna njia mbili tena; uwe naye, yote ndako.

https://youtu.be/dsxyrMnjwHo